Biblia imejaa matendo makuu ya Mungu tangu kitabu cha Mwanzo hata Ufunuo:
1. Uumbaji: Mungu aliumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo; tena alimuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake (Mwanzo 1-2)
2. Alivuruga lugha za wanadamu na kuuvunja mnara wa babeli (Mwanzo 11)
3. Aligharikisha dunia kwa maji na kumwokoa Nuhu kwa wokovu mkuu (Mwanzo 6-9)
4. Aliiteketeza Sodoma na Gomora kwa moto (Mwanzo 19:24
6. Aliwapa Ibrahimu na Sara mtoto wakati wa uzee wao (Mwanzo 21)
Alimtoke Ibrahimu alipokuwa anamtoa Isaka sadaka na kumpa mwanakondoo badala ya Isaka. (Mwanzo 22)
7.
1. Uumbaji: Mungu aliumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo; tena alimuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake (Mwanzo 1-2)
2. Alivuruga lugha za wanadamu na kuuvunja mnara wa babeli (Mwanzo 11)
3. Aligharikisha dunia kwa maji na kumwokoa Nuhu kwa wokovu mkuu (Mwanzo 6-9)
4. Aliiteketeza Sodoma na Gomora kwa moto (Mwanzo 19:24
6. Aliwapa Ibrahimu na Sara mtoto wakati wa uzee wao (Mwanzo 21)
Alimtoke Ibrahimu alipokuwa anamtoa Isaka sadaka na kumpa mwanakondoo badala ya Isaka. (Mwanzo 22)
7.

No comments:
Post a Comment