Thursday, 5 September 2013

MWANA INJILI- Bish. MOSES KULOLA


Sijajua ni kwa jinsi gani unaitazama injili ya Yesu Kristo katika maisha yako binafsi, si jambo rahisi kama wengi wanavyodhani! Injili Ya Yesu sio kama yalivyo mbambo mengine yasemwayo. Paulo anasema, "Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia." warumi 1:16

Baba huyu aliamua kuyatumia maisha yake yote katika utumishi wa Injili. Je, wewe na mimi tunafanya nini?

No comments:

Post a Comment

MWANAUME KWENYE NAFASI YA "MUME"

Mume ni mwanaume aliyeoa kwa kuzingatia vigezo na taratibu za kijamii, kishria na za kiroho. Mume si rafiki wa kiume (boyfriend), hawara, wa...

Powered By Blogger