Thursday, 5 September 2013

MWANA INJILI- Bish. MOSES KULOLA


Sijajua ni kwa jinsi gani unaitazama injili ya Yesu Kristo katika maisha yako binafsi, si jambo rahisi kama wengi wanavyodhani! Injili Ya Yesu sio kama yalivyo mbambo mengine yasemwayo. Paulo anasema, "Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia." warumi 1:16

Baba huyu aliamua kuyatumia maisha yake yote katika utumishi wa Injili. Je, wewe na mimi tunafanya nini?

No comments:

Post a Comment

A Strong Marriage vs. A Good Family: Understanding God's Order

In many Christian homes, there is a deep desire to build a good family. Parents work hard to provide for their children, maintain a peaceful...

Powered By Blogger