Thursday, 5 September 2013

MWANA INJILI- Bish. MOSES KULOLA


Sijajua ni kwa jinsi gani unaitazama injili ya Yesu Kristo katika maisha yako binafsi, si jambo rahisi kama wengi wanavyodhani! Injili Ya Yesu sio kama yalivyo mbambo mengine yasemwayo. Paulo anasema, "Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia." warumi 1:16

Baba huyu aliamua kuyatumia maisha yake yote katika utumishi wa Injili. Je, wewe na mimi tunafanya nini?

No comments:

Post a Comment

SIFA ZA KIONGOZI BORA

 Kiongozi ni mtu aliyejitoa au aliyeminiwa na kupewa dhamana ya kusimamia, kutoa dira na kuonyesha mfano wa jinsi mambo yanapaswa kufanyika....

Powered By Blogger